MJ THE ACTION

KARIBU MJ THE ACTION.COM

Taifa Stars yaambulia kipigo.

Timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya Tanzania, Taifa Stars imekubali kichapo cha goli 1-0 dhidi ya Lesotho kwenye mchezo wa kufuzu AFCON 2019.

Kwa matokeo hayo Taifa Stars inakuwa na alama 5 ikiwa imecheza michezo mitano jambo ambalo itahitajika kushinda dhidi ya Uganda kwenye mchezo wake wa mwisho huku ikiwaombea  Cape Verde wenye alama 4 waitandike Lesotho.

Taifa Stars inahitaji kupata matokeo ya ushindi katika mchezo wake wa mwisho dhidi ya Uganda huku ikiiombea Cape Verde ipate ushindi dhidi ya Lesotho ili iweze kufuzu kwa tofauti ya alama moja. Matokeo tofauti na hayo, Taifa Stars itakosa nafasi ya kufuzu michuano hiyo.

Taifa Stars yaambulia kipigo. Taifa Stars yaambulia kipigo. Reviewed by mjtheaction on November 18, 2018 Rating: 5

No comments:

Followers

Powered by Blogger.