MJ THE ACTION

KARIBU MJ THE ACTION.COM

Aslay Aanguka Jukwaani Kenya.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka nchini Tanzania Aslay amepata  ajali kazini baada ya kudondoka jukwaani akipafomu katika moja ya tour ya anayoifanya nchini Kenya.

Aslay wakati anaperform katika mji wa kisumu alidondoka jukwaani kutokana na jukwaa hili kuonekana halikuwa imara na baada ya hapo alibebwa kwa ajili ya kupumzishwa lakini baadaye alirudi tena jukwaani.

Kupitian ukurasa wake wa Instagram Aslay alisema;” It’s normal for celebrities and performers to encounter some challenging moments while on stage and mine came through yesterday, I slipped on stage but miraculously I wasn’t hurt, I came back on stage and gave one of the most electrifying performance, #Kisumu you guys are AMAZING the Energy was insane. 

"Mwenyezi Mungu Awabariki !!! …….. Ni Kawaida kwa Wasanii kupatana na changamoto jukwani, na Jana ilikuwa zamu yangu, yalitokea Haya punde tu nilipopanda jukwani kwa bahati nzuri sikuumia ,nilirejea jukwani na kuburudisha Mashabiki wangu wa Kisumu waliyojitokeza kwa wingi. Asanteni sana nyote Mwenyezi Mungu Awabariki!!!”


Aslay Aanguka Jukwaani Kenya. Aslay Aanguka Jukwaani Kenya. Reviewed by mjtheaction on November 12, 2018 Rating: 5

No comments:

Followers

Powered by Blogger.