MJ THE ACTION

KARIBU MJ THE ACTION.COM

SAMATTA ADHIHIRISHA UWEZO WA WATANZANIA KATIKA MIDANI YA SOKO ULAYA.

Staa wa Genk ya nchini Ubelgiji, Mbwana Samatta ameitoa kimasomaso timu hiyo katika michuano ya Europa League baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 4-2, dhidi ya Besiktas ya Uturuki.
SAMATTA ADHIHIRISHA UWEZO WA WATANZANIA KATIKA MIDANI YA SOKO ULAYA. SAMATTA ADHIHIRISHA UWEZO WA WATANZANIA KATIKA MIDANI YA SOKO ULAYA. Reviewed by mjtheaction on October 26, 2018 Rating: 5

No comments:

Followers

Powered by Blogger.